Gurudumu la Uchumi
RFI Kiswahili
Fahamu masuala kadha wa kadha kuhusu uchumi kama vile, namna ya kupambana na umaskini, mfumuko wa bei, kushamiri kwa matumizi ya dola na athari za kuyumba kwa uchumi wa dunia kwa nchi za Afrika. Mada hizi zinafanyiwa utafiti wa kina na zinazungumzwa kwa lugha rahisi inayoeleweka ili kukufanya uelewe na usichoke kusikiliza .
Radio: RFI Kiswahili
Categories: Business
Listen to the last episode:
Msikilizaji dunia inashuhudia ongezeko kubwa la idadi ya watu katika miongo 6 iliyopita, ambapo mwaka 1960 idadi ilikuwa bilioni 3 lakini katika miongo miwili tu hadi mwaka 1982 ilikuwa imevuka watu bilioni 5 na November mwaka 2022 kulikuwa na watu bilioni 8 duniani.
Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili, tunajadili Athari za Kiuchumi kutokana na ongezeko la watu barani Afrika: Changamoto na fursa.
Tumezungumza na Walter Nguma, mchambuzi wa masuala ya uchumi akiwa Tanzania
Previous episodes
-
239 - Athari za Kiuchumi kutokana na ongezeko la watu barani Afrika: Changamoto na fursa Wed, 09 Oct 2024
-
238 - Athari za utoroshaji na utakatishaji fedha barani Afrika Wed, 02 Oct 2024
-
237 - Fursa na changamoto ya huduma jumuishi za mifumo ya kifedha kidijitali barani Afrika Wed, 18 Sep 2024
-
236 - Afrika na usalama wa chakula Wed, 11 Sep 2024
-
235 - Ndio au hapana, mkutano kati ya Uchina na Afrika Wed, 04 Sep 2024
-
234 - Athari za kutokuwa na usawa wa kijinsia kwa soko la ajira Afrika Wed, 28 Aug 2024
-
233 - Tatizo la ajira na changamoto nyingine kwa vijana wa Afrika Mashariki Wed, 21 Aug 2024
-
232 - Ugunduzi wa tekonolojia ya akili mnemba teknolojia nyingine na mchango wake kwa ukuaji wa uchumi Wed, 26 Jun 2024
-
231 - Athari za uchumi na biashara kwenye mji wa Kalemie nchini DRC Wed, 12 Jun 2024
-
230 - Afrika iwe makini inaposhirikiana au kusaidiwa na nchi zilizoendelea Wed, 05 Jun 2024
-
229 - Hofu kwa wafanyabiashara kuhusu muswada wa fedha 2024 nchini Kenya Wed, 29 May 2024
-
228 - Afrika na jitihada za kutaka kuwa katika meza ya majadiliano ya kidunia na sio mualikwa Wed, 22 May 2024
-
227 - Changamoto na fursa kwa vijana wajasiriamali na ajira kwenye nchi za Afrika Mashariki Wed, 15 May 2024
-
226 - Mchango wa biashara ndogondogo na kati kwa uchumi wa nchi za Afrika Mashariki Fri, 10 May 2024
-
225 - Afrika na madai ya mabadiliko katika mifumo ya kifedha ya kimataifa Wed, 01 May 2024
-
224 - Wataalamu: Uchumi Samawati utumiwe vizuri kwa maendeleo endelevu Thu, 11 Apr 2024
-
223 - Umuhimu wa ushirikiano kati ya sekta binafsi na uma Mon, 04 Mar 2024
-
222 - Ukulima wa matunda Kenya na changamoto zake Mon, 04 Mar 2024
-
221 - Changamoto za uhamiaji na fursa zake kwa uchumi Mon, 04 Mar 2024
-
220 - Kuberoshwa kwa huduma ya intaneti Kenya na ilivyochochea ubunifu Mon, 04 Mar 2024
-
219 - Mzozo kati ya Kenya na Tanzania kuhusu mashirika yake ya ndege Mon, 04 Mar 2024
-
218 - Mustakabali wa Jumuiya mwaka 2024 Mon, 04 Mar 2024
-
217 - Matarajio ya Wafanyabiashara kwa mwaka 2024 Mon, 04 Mar 2024
-
216 - Matarajio ya Jumuiya ya Afrika Mashariki 2024 Thu, 11 Jan 2024