Mjadala wa Wiki

Mjadala wa Wiki

RFI Kiswahili

Huu ni wasaa wa kukutana na wageni mbalimbali watakaokuwa wakifika katika studio zetu na kuzungumza moja kwa moja yaani LIVE. Ni mjadala wa kila Jumatano asubuhi ambao utagusa masuala muhimu yanayoibuka ndani na nje ya Bara la Afrika katika nyanja tofaut itofauti. Mjadala wa wiki ni wasaa utakaokuzungusha dunia nzima kupitia mawimbi ya RFI Kiswahili.

Radio: RFI Kiswahili

Categories: News & Politics

Listen to the last episode:

Rais wa DR Congo Felix Tshisekedi amewaambia viongozi wa dunia kuwa uchaguzi mkuu utafanyika nchini mwake mwaka 2023 kama ilivyopangwa kikatiba.Kauli hii pia imeungwa mkono na spika wa Bunge la kitaifa huko DRC Chistophe Mboso Nkodia wakati wa Mkutano wake na Raia kwenye mji wa Kinshasa Siku ya Jumapili iliyopita.Hata hivyo Tume ya Uchaguzi inayotakiwa kuandaa uchaguzi huo, haijawekwa wazi.

Previous episodes

  • 100 - Rais wa DRC Felix Tshisekedi athibitisha kuwa uchaguzi utafanyika mwaka 2023 
    Wed, 29 Sep 2021
  • 99 - Joto la kisiasa kuelekea uchaguzi nchini Kenya 2022 
    Wed, 15 Sep 2021
  • 98 - Mapinduzi nchini Guinea na hali ya kisiasa kwa watawala barani Afrika 
    Fri, 10 Sep 2021
  • 97 - Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amtaka naibu wake ajiuzulu 
    Wed, 25 Aug 2021
  • 96 - Siku 100 za Waziri Mkuu wa DRC Sama Lukonde 
    Thu, 12 Aug 2021
Show more episodes

More Kenya news & politics podcasts

More international news & politics podcasts

Other RFI Kiswahili podcasts

Choose podcast genre